- Written by: dadamkuu19@gmail.com
- January 27, 2025
Leo ni siku ya watu duniani na inakadiriwa dunia kuwa na watu takribani bilioni 8 , hii ina maanisha nini? Pia tujuze unafikiri ni nchi gani 3 za kwanza zinaongoza kuwa na watu wengi zaidi?
Dada Mkuu Initiative